Swali: Je, ambaye anajilipua anazingatiwa amejiua nafsi yake?
Jibu: Hapana shaka. Kujiua ambako kunaitwa kujitoa muhanga ni kujiua. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
“Usifikirie kabisa wale waliouawa katika njia ya Allaah ni wafu. Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.”[1]
Hakusema ”wale wanaoziua nafsi zao”. Haijuzu kwa mtu kujiua nafsi yake kwa hali yoyote na kusema eti ni jihaad. Haijuzu.
[1] 03:169
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 26/07/2024
Swali: Je, ambaye anajilipua anazingatiwa amejiua nafsi yake?
Jibu: Hapana shaka. Kujiua ambako kunaitwa kujitoa muhanga ni kujiua. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
“Usifikirie kabisa wale waliouawa katika njia ya Allaah ni wafu. Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.”[1]
Hakusema ”wale wanaoziua nafsi zao”. Haijuzu kwa mtu kujiua nafsi yake kwa hali yoyote na kusema eti ni jihaad. Haijuzu.
[1] 03:169
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 26/07/2024
https://firqatunnajia.com/kujitoa-muhanga-ni-kujiua-na-haijuzu/