Swali: Inafaa kumtii msimamizi wangu ikiwa ananizuia kufunika uso wangu?
Jibu: Hapana:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Ikiwa mume wake atamridhia kujisitiri namna hiyo ni vyema. Asipomridhia basi amwache na Allaah atamruzuku ambaye ni bora kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 26/07/2024
Swali: Inafaa kumtii msimamizi wangu ikiwa ananizuia kufunika uso wangu?
Jibu: Hapana:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Ikiwa mume wake atamridhia kujisitiri namna hiyo ni vyema. Asipomridhia basi amwache na Allaah atamruzuku ambaye ni bora kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 26/07/2024
https://firqatunnajia.com/amtii-mlezi-wake-anayemzuia-kufunika-uso/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)