Swali: Ni ipi hukumu ya kujitibu kwa kitu kilichoharamishwa ikiwa kuna haja?
Jibu:
”Enyi waja wa Allaah, jitibuni, lakini msitibie kwa kitu kilichoharamishwa.”
Allaah amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Swali: Vipi kuhusu kujitibu kwa vitu vilivyoharamishwa?
Jibu: Ikiwa mtu atalazimika tu.
Swali: Je, pombe nayo inajumuishwa katika hali hiyo?
Jibu: Hata pombe, kama mtu ameziba koo na hakuna kingine isipokuwa hiyo, basi anaweza kumeza kiasi kinachoondoa khatari ya kufa.
Swali: Lakini inaweza kutumika kama tiba?
Jibu: Hapana, haitumiki kama tiba, isipokuwa katika dharurah ya ghafla ambayo si tiba ya kawaida, bali ni kujiokoa na mauti, mfano kutoa damu kwa mwenye kuhitaji ili kuokoa maisha.
[1] 06:119
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31639/ما-حكم-التداوي-بالمحرم-للحاجة
- Imechapishwa: 12/11/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kujitibu kwa kitu kilichoharamishwa ikiwa kuna haja?
Jibu:
”Enyi waja wa Allaah, jitibuni, lakini msitibie kwa kitu kilichoharamishwa.”
Allaah amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Swali: Vipi kuhusu kujitibu kwa vitu vilivyoharamishwa?
Jibu: Ikiwa mtu atalazimika tu.
Swali: Je, pombe nayo inajumuishwa katika hali hiyo?
Jibu: Hata pombe, kama mtu ameziba koo na hakuna kingine isipokuwa hiyo, basi anaweza kumeza kiasi kinachoondoa khatari ya kufa.
Swali: Lakini inaweza kutumika kama tiba?
Jibu: Hapana, haitumiki kama tiba, isipokuwa katika dharurah ya ghafla ambayo si tiba ya kawaida, bali ni kujiokoa na mauti, mfano kutoa damu kwa mwenye kuhitaji ili kuokoa maisha.
[1] 06:119
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31639/ما-حكم-التداوي-بالمحرم-للحاجة
Imechapishwa: 12/11/2025
https://firqatunnajia.com/kujitibu-kwa-kitu-cha-haramu-kutokana-na-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket