Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia wanja na mwanamke kujipaka mafuta mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Mwenye kujipaka wanja mchana wa Ramadhaan swawm yake haiharibiki. Kadhalika yule mwenye kujipaka mafuta kichwani mchana wa Ramadhaan ilihali amefunga swawm yake haiharibiki.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (4220 )
- Imechapishwa: 25/04/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia wanja na mwanamke kujipaka mafuta mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Mwenye kujipaka wanja mchana wa Ramadhaan swawm yake haiharibiki. Kadhalika yule mwenye kujipaka mafuta kichwani mchana wa Ramadhaan ilihali amefunga swawm yake haiharibiki.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (4220 )
Imechapishwa: 25/04/2020
https://firqatunnajia.com/kujipaka-mafuta-mwilini-kunaharibu-swawm/