Kujiaminisha na vitimbi vya Allaah

Swali: Ni ipi hukumu ya mtu mwenye kujiaminisha na vitimbi vya Allaah?

Jibu: Hukumu yake ni kwamba amefanya dhambi kubwa na yuko katika khatari kubwa.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24624/حكم-الامن-من-مكر-الله-تعالى
  • Imechapishwa: 15/11/2024