Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la ´Abdul-Jaliyl na ´Abdul-Kalaam?
Jibu: ´Abdul-Jaliyl hakuna neno. Al-Jaliyl ni katika Majina ya Allaah. Ama kuhusu ´Abdul-Kalaam sio katika Majina ya Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-2.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la ´Abdul-Jaliyl na ´Abdul-Kalaam?
Jibu: ´Abdul-Jaliyl hakuna neno. Al-Jaliyl ni katika Majina ya Allaah. Ama kuhusu ´Abdul-Kalaam sio katika Majina ya Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-2.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuitwa-kwa-jina-la-abdul-kalaam/