Swali: Ni ipi hukumu ya kuyafupisha majina yenye maana ya kumwabudu Allaah (´Azza wa Jall) kama mfano wa kusema ´Abuud badala ya ´Abdullaah?
Jibu: Hakuna neno kuyafupisha. Kwa sababu hawamaanishi kulifupisha jina la Allaah (´Azza wa Jall). Wanachokusudia ni kufupisha yule mwenye kuitwa. ´Abdullaah wanamwita ´Ubaydullaah. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao wanasema ´Ubuud. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao ´Abdur-Rahmaan wanasema ´Ubayd-ur-Rahmaan. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao husema Tuhaym. Hili pia halina neno. Ufupikaji wanachokusudia ni kumfupiza yule mwenye kuitwa na sio kufupiza jina la Allaah tukufu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1486
- Imechapishwa: 24/01/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuyafupisha majina yenye maana ya kumwabudu Allaah (´Azza wa Jall) kama mfano wa kusema ´Abuud badala ya ´Abdullaah?
Jibu: Hakuna neno kuyafupisha. Kwa sababu hawamaanishi kulifupisha jina la Allaah (´Azza wa Jall). Wanachokusudia ni kufupisha yule mwenye kuitwa. ´Abdullaah wanamwita ´Ubaydullaah. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao wanasema ´Ubuud. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao ´Abdur-Rahmaan wanasema ´Ubayd-ur-Rahmaan. Hakuna neno katika hili. Baadhi yao husema Tuhaym. Hili pia halina neno. Ufupikaji wanachokusudia ni kumfupiza yule mwenye kuitwa na sio kufupiza jina la Allaah tukufu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1486
Imechapishwa: 24/01/2020
https://firqatunnajia.com/kuitwa-abuud-na-ubaydullaah-badala-ya-abdullaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
