Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuipamba swalah yake ili ndugu zake waweze kumuiga?
Jibu: Ikiwa malengo yake ni kufunza swalah, basi itambulike kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Ikiwa makusudio yake awe ni kiigizo chema na kufunza ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/01.mp3
- Imechapishwa: 03/08/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuipamba swalah yake ili ndugu zake waweze kumuiga?
Jibu: Ikiwa malengo yake ni kufunza swalah, basi itambulike kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Ikiwa makusudio yake awe ni kiigizo chema na kufunza ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/01.mp3
Imechapishwa: 03/08/2018
https://firqatunnajia.com/kuipamba-swalah-ili-wengine-waige/