Swali: Je, inajuzu kuingia sehemu ambazo nina dhana yenye nguvu kwamba kutakuwa maovu?
Jibu: Ikiwa utaweza kubadilisha maovu bila kupatikana maovu zaidi au kupelekea katika madhara, basi nenda ukakataze. Lakini ikiwa huwezi kuzuia kitu, basi haifai kwako kwenda au kukaa sehemu ambayo inasemekana kutakuwa maovu na wewe huwezi kubadilisha wala kuzuia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 26/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)