Swali: Je, inajuzu kuingia sehemu ambazo nina dhana yenye nguvu kwamba kutakuwa maovu?
Jibu: Ikiwa utaweza kubadilisha maovu bila kupatikana maovu zaidi au kupelekea katika madhara, basi nenda ukakataze. Lakini ikiwa huwezi kuzuia kitu, basi haifai kwako kwenda au kukaa sehemu ambayo inasemekana kutakuwa maovu na wewe huwezi kubadilisha wala kuzuia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 26/03/2018
Swali: Je, inajuzu kuingia sehemu ambazo nina dhana yenye nguvu kwamba kutakuwa maovu?
Jibu: Ikiwa utaweza kubadilisha maovu bila kupatikana maovu zaidi au kupelekea katika madhara, basi nenda ukakataze. Lakini ikiwa huwezi kuzuia kitu, basi haifai kwako kwenda au kukaa sehemu ambayo inasemekana kutakuwa maovu na wewe huwezi kubadilisha wala kuzuia.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 26/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuingia-sehemu-ambazo-kuna-maovu/