Swali: Ni ipi hukumu ya kuigiza adhaana kama kwa mfano mtu kuigiza adhaana ya Makkah au al-Madiynah au baadhi ya misikiti?
Jibu: Uigizaji wa sampuli yote ni jambo lisilosifika. Kila mmoja atoe kwa sauti yake aliyopewa na Allaah. Ajitahidi kuipamba sauti yake na wala asimuige muadhini mwingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kuigiza adhaana kama kwa mfano mtu kuigiza adhaana ya Makkah au al-Madiynah au baadhi ya misikiti?
Jibu: Uigizaji wa sampuli yote ni jambo lisilosifika. Kila mmoja atoe kwa sauti yake aliyopewa na Allaah. Ajitahidi kuipamba sauti yake na wala asimuige muadhini mwingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuigiza-sauti-za-waadhini__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)