Swali: Wakati mwingine mbebaji wa Qur-aan anakuwa mbele ya waswaliji, nao wakanyosha miguu yao mbele ya msahafu. Je, kuna tatizo?
Jibu: Hakuna neno, hakuna neno. Haikusudiwi dharau. Kinachokusudiwa ni kupumzika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28045/حكم-مد-الرجل-باتجاه-المصحف
- Imechapishwa: 19/04/2025
Swali: Wakati mwingine mbebaji wa Qur-aan anakuwa mbele ya waswaliji, nao wakanyosha miguu yao mbele ya msahafu. Je, kuna tatizo?
Jibu: Hakuna neno, hakuna neno. Haikusudiwi dharau. Kinachokusudiwa ni kupumzika.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28045/حكم-مد-الرجل-باتجاه-المصحف
Imechapishwa: 19/04/2025
https://firqatunnajia.com/kuielekezea-qur-aan-miguu/