Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kwamba ukafiri ni kule kukadhibisha?
Jibu: Huu ni ujinga. Ni ujinga uliopandiana. Lau atamtukana Allaah au akamkadhibisha hakufuru?
Swali: Je, si anatoka nje ya Uislamu?
Jibu: Ndio, anakuwa kafiri. Wale ambao wanaona kuwa kufuru ni kukadhibisha pekee maana yake ni kwamba anayeswali kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, akamsujudia asiyekuwa Allaah au akamtukana Allaah hakufuru midhali hakadhibishi .
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 58
- Imechapishwa: 29/06/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kwamba ukafiri ni kule kukadhibisha?
Jibu: Huu ni ujinga. Ni ujinga uliopandiana. Lau atamtukana Allaah au akamkadhibisha hakufuru?
Swali: Je, si anatoka nje ya Uislamu?
Jibu: Ndio, anakuwa kafiri. Wale ambao wanaona kuwa kufuru ni kukadhibisha pekee maana yake ni kwamba anayeswali kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, akamsujudia asiyekuwa Allaah au akamtukana Allaah hakufuru midhali hakadhibishi .
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 58
Imechapishwa: 29/06/2019
https://firqatunnajia.com/kufuru-ni-kukadhibisha-tu/