Swali: Kuna mtu aliswali Dhuhr na akamaliza. Baadaye akaingia mtu msikitini na akataka kumtolea swadaqah ambapo akaswali pamoja naye akiwa imamu. Baada ya kumaliza Rak´ah ya kwanza wakaingia kundi la watu na wakawa wengi ambapo imamu baada ya kumaliza kuswali Rak´ah mbili akatoa salamu hali ya kuwa ni swalah ya sunnah. Je, kitendo chake ni sahihi?
Jibu: Ni lazima kwake kuswali kikamilifu na kuendelea pamoja nao. Anatakiwa aswali Rak´ah nne na awatolee swadaqah. Anahesabika amerudi kuswali mkusanyiko.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 13/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket