Swali: Ni lipi bora kufanya I´tikaaf katika msikiti Mtakatifu au katika misikiti mingine pamoja na kubainisha sababu?
Jibu: Ni jambo linalotambulika kuwa kufanya I´tikaaf katika msikiti Mtakatifu ndio bora zaidi. Isipokuwa ikiwa kama mtu katika misikiti hiyo mingine anakuwa na unyenyekevu zaidi. Kwa sababu wapo watu ambao kutokana na ule wingi na msongamano wanakuwa hawana unyenyekevu. Katika hali hiyo tunamwambia afanye I´tikaaf katika misikiti mingine unapoweza kuwa na unyenyekevu zaidi. Ama mbali na Makkah, misikiti mingine mikubwa ambayo kunaswaliwa ijumaa ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (52) http://binothaimeen.net/content/1185
- Imechapishwa: 13/07/2019
Swali: Ni lipi bora kufanya I´tikaaf katika msikiti Mtakatifu au katika misikiti mingine pamoja na kubainisha sababu?
Jibu: Ni jambo linalotambulika kuwa kufanya I´tikaaf katika msikiti Mtakatifu ndio bora zaidi. Isipokuwa ikiwa kama mtu katika misikiti hiyo mingine anakuwa na unyenyekevu zaidi. Kwa sababu wapo watu ambao kutokana na ule wingi na msongamano wanakuwa hawana unyenyekevu. Katika hali hiyo tunamwambia afanye I´tikaaf katika misikiti mingine unapoweza kuwa na unyenyekevu zaidi. Ama mbali na Makkah, misikiti mingine mikubwa ambayo kunaswaliwa ijumaa ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (52) http://binothaimeen.net/content/1185
Imechapishwa: 13/07/2019
https://firqatunnajia.com/bora-itikaaf-makkah-au-misikiti-mingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)