Swali: Unasemaje juu ya yule mwenye kusema kwamba kufunga siku sita za Shawwaal ni Bid´ah na kwamba haya ni maoni ya Imaam Maalik? Akipewa dalili ya Hadiyth ya Abu Ayyuub:
“Atakayefunga Ramadhaan kisha akaifuatishia siku sita za Shawwaal basi ni kama ambaye amefunga mwaka mzima.”[1]
anasema kwamba katika cheni ya wapokezi wake kuna mtu ambaye ametiwa dosari.
Jibu: Maneno haya ni batili. Hadiyth ya Abu Ayyuub ni Swahiyh. Hadiyth hiyo ina zengine zenye kuisapoti na kutolea dalili maana yake.
[1] Muslim (1164), at-Tirmidhiy (759), Abu Daawuud (2433), Ibn Maajah (1716), Ahmad (05/417) na ad-Daarimiy (1754).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/390)
- Imechapishwa: 08/06/2018
Swali: Unasemaje juu ya yule mwenye kusema kwamba kufunga siku sita za Shawwaal ni Bid´ah na kwamba haya ni maoni ya Imaam Maalik? Akipewa dalili ya Hadiyth ya Abu Ayyuub:
“Atakayefunga Ramadhaan kisha akaifuatishia siku sita za Shawwaal basi ni kama ambaye amefunga mwaka mzima.”[1]
anasema kwamba katika cheni ya wapokezi wake kuna mtu ambaye ametiwa dosari.
Jibu: Maneno haya ni batili. Hadiyth ya Abu Ayyuub ni Swahiyh. Hadiyth hiyo ina zengine zenye kuisapoti na kutolea dalili maana yake.
[1] Muslim (1164), at-Tirmidhiy (759), Abu Daawuud (2433), Ibn Maajah (1716), Ahmad (05/417) na ad-Daarimiy (1754).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/390)
Imechapishwa: 08/06/2018
https://firqatunnajia.com/kufunga-siku-sita-za-shawwaal-ni-bidah/