Kufumba macho wakati wa matabano

Swali 48: Baadhi ya wasomaji matabano huamrisha walipatwa na kijicho wafumbe macho wakati wa kusomewa ili wamuone aliyemsibu kwa kijicho?

Jibu: Hapana, hii ni miongoni mwa michezo ya shaytwaan. Shaytwaan anawachezea.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 39
  • Imechapishwa: 07/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´