Swali: Mtu ambaye ameweka nadhiri ya kufunga mwezi mzima analazimika kufunga mfululizo?
Jibu: Kwa mujibu wa nia yake. Ikiwa alikusudia kuzitekeleza kwa kufuatana, basi lazima azifanye. Vinginevyo hapana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
- Imechapishwa: 02/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Mtu ambaye ameweka nadhiri ya kufunga mwezi mzima analazimika kufunga mfululizo?
Jibu: Kwa mujibu wa nia yake. Ikiwa alikusudia kuzitekeleza kwa kufuatana, basi lazima azifanye. Vinginevyo hapana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
Imechapishwa: 02/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kufululiza-swawm-ya-nadhiri-ya-kufunga-mwezi-mzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
