Swali 324: Ni lini inajuzu kufukua kaburi?
Jibu: Ikiwa kuna manufaa ya kufanya hivo. Kwa mfano amezikwa na pesa zake na kama vile Jaabir alivyofukua kaburi la baba yake [´Abdullaah bin Ubayy bin Saluul].
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 113
- Imechapishwa: 25/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 324: Ni lini inajuzu kufukua kaburi?
Jibu: Ikiwa kuna manufaa ya kufanya hivo. Kwa mfano amezikwa na pesa zake na kama vile Jaabir alivyofukua kaburi la baba yake [´Abdullaah bin Ubayy bin Saluul].
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 113
Imechapishwa: 25/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kufukua-kaburi-wakati-wa-haja/