Swali: Ikiwa ´iyd itaangukia siku ya alkhamisi lakini hilo halikujulikana isipokuwa baada ya jua kupinduka. Je, wale wataoswali swalah ya ´iyd siku ya kufuatia, nayo ni siku ya ijumaa, hawahitajii kuswali swalah ya ijumaa?
Jibu: Swalah ya ijumaa haianguki. Ni lazima iswaliwe. Lakini yule atakayeswali swalah ya ´iyd si lazima kwake kuhudhuria swalah ya ijumaa. Si lazima kwa mtu mmoja mmoja. Ama watu kwa jumla ni lazima waswali swalah ya ijumaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2019
Swali: Ikiwa ´iyd itaangukia siku ya alkhamisi lakini hilo halikujulikana isipokuwa baada ya jua kupinduka. Je, wale wataoswali swalah ya ´iyd siku ya kufuatia, nayo ni siku ya ijumaa, hawahitajii kuswali swalah ya ijumaa?
Jibu: Swalah ya ijumaa haianguki. Ni lazima iswaliwe. Lakini yule atakayeswali swalah ya ´iyd si lazima kwake kuhudhuria swalah ya ijumaa. Si lazima kwa mtu mmoja mmoja. Ama watu kwa jumla ni lazima waswali swalah ya ijumaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
Imechapishwa: 01/06/2019
https://firqatunnajia.com/kufidia-swalah-ya-iyd-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
