Swali: Kuendesha gari kunaingia katika kufanya upole na ulaini?
Jibu: Ndio, katika magari, ngamia, farasi, punda na nyumbu, hata katika kutembea kwake mwenyewe na utoaji wake kwa familia yake, watoto wake na majirani zake.
Swali: Watu wengine huwa na tabia hiyo ya ukali daima. Je, waambiwe kufanya upole?
Jibu: Ni lazima ajitahidi kujitibu, ajihimize nafsi yake hadi atibu tabia zake mbaya kwa tabia njema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28785/هل-تدخل-قيادة-السيارات-في-الرفق
- Imechapishwa: 25/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)