Swali: Kuendesha gari kunaingia katika kufanya upole na ulaini?
Jibu: Ndio, katika magari, ngamia, farasi, punda na nyumbu, hata katika kutembea kwake mwenyewe na utoaji wake kwa familia yake, watoto wake na majirani zake.
Swali: Watu wengine huwa na tabia hiyo ya ukali daima. Je, waambiwe kufanya upole?
Jibu: Ni lazima ajitahidi kujitibu, ajihimize nafsi yake hadi atibu tabia zake mbaya kwa tabia njema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28785/هل-تدخل-قيادة-السيارات-في-الرفق
- Imechapishwa: 25/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Inaruhusiwa kwa mwanamke kupanda mnyama na si kuendesha gari
Swali: Je, mtu anaweza kusema wanawake kupanda juu ya vipando kunatolea dalili kuonesha kuwa inajuzu kwao kuendesha gari? Jibu: Hakuna ukhatari wa kupanda mnyama. Hakupelekei katika madhara. Hilo ni tofauti na mwanamke kuendesha gari. Hilo linapelekea katika madhara na khatari. Hilo lina madhara mengi. Kwa ajili hiyo ndio maana haitakiwi…
In "Mwanamke kuendesha gari"

Madhara ya mwanamke kuendesha gari
https://www.youtube.com/watch?v=Gr10JxkLck4 Swali: Je, mtu anaweza kusema wanawake kupanda juu ya vipando kunatolea dalili kuonesha kuwa inajuzu kwao kuendesha gari? Jibu: Hakuna ukhatari wa kupanda mnyama. Hakupelekei katika madhara. Hilo ni tofauti na mwanamke kuendesha gari. Hilo linapelekea katika madhara na khatari. Hilo lina madhara mengi. Kwa ajili hiyo ndio maana…
In "´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan"
13. Kujipamba na tabia njema
Lengo la kumi na tatu: Kujipamba na tabia njema Miongoni mwa malengo ya hajj ni kujipamba na tabia njema, adabu kamili, sifa nzuri na adabu kamilifu. Hajj ni masomo bora ya adabu na tabia ambayo muislamu analeleka juu ya tabia nzuri, matangamano mazuri, kujiweka mbali na maudhi, mijadala iliosemwa vibaya…
In "Maqaaswid-ul-Hajj - ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin"