Kufanya Qiblah upande wa kushoto kwa aliyembeba mtu wakati wa Twawaaf

390 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu anayebebwa wakati wa Twawaaf. Je, ni sharti kwamba Qiblah kiwe upande wa kushoto?

Jibu: Hii ndiyo kanuni ya msingi.

391 – Muulizaji akasema kwamba jambo hilo ni gumu.

Jibu: Inahitaji kutafakari. Kama ulivyosema ni vigumu na inaweza kupuuzwa.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 134
  • Imechapishwa: 17/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´