Swali: Ni ipi hukumu ya kupunguza sehemu ya nywele na kuacha zingine?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zinyoe zote au ziache zote.”
Haijuzu kuzifanya panki nywele kwa njia ya kunyoa au kupunguza baadhi na kuacha baadhi nyingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 06/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kupunguza sehemu ya nywele na kuacha zingine?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zinyoe zote au ziache zote.”
Haijuzu kuzifanya panki nywele kwa njia ya kunyoa au kupunguza baadhi na kuacha baadhi nyingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 06/02/2017
https://firqatunnajia.com/kufanya-panki-nywele/