Swali: Baadhi ya watu wanaacha matendo mema kwa kuchelea kujionyesha. Kwa mfano wanaweza kuacha kuswali Sunnah ya Raatibah msikitini kwa kuchelea kujionyesha…
Jibu: Wasiwasi huu unatokana na shaytwaan. Kuacha kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Na kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Kusalimishwa ni wewe usalimishwe na Allaah kutokamana na yote mawili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket