Swali: Kuna kiwanda katika nchi ya kikafiri ambacho kinatengeneza ndege za vita kwa lengo la kujitetea au kushambulia. Je, inajuzu kwa muislamu kufanya kazi katika kiwanda kama hichi?
Jibu: Ikiwa kiwanda hichi kinatengeneza kwa ajili ya kuwapiga vita waislamu haijuzu kwa Muislamu kufanya kazi ndani yake. Katika hali hii itakuwa ni kushirikiana katika madhambi na uadui. Ama ikiwa haitengenezi kwa ajili ya kuwapiga vita waislamu, bali kwa madhumuni ya faida tu, inachukuliwa kuwa inajuzu. Haijuzu kwa muislamu kushiriki au kufanya kazi na kitu ambacho kinachangia kuwapiga vita waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Kuna kiwanda katika nchi ya kikafiri ambacho kinatengeneza ndege za vita kwa lengo la kujitetea au kushambulia. Je, inajuzu kwa muislamu kufanya kazi katika kiwanda kama hichi?
Jibu: Ikiwa kiwanda hichi kinatengeneza kwa ajili ya kuwapiga vita waislamu haijuzu kwa Muislamu kufanya kazi ndani yake. Katika hali hii itakuwa ni kushirikiana katika madhambi na uadui. Ama ikiwa haitengenezi kwa ajili ya kuwapiga vita waislamu, bali kwa madhumuni ya faida tu, inachukuliwa kuwa inajuzu. Haijuzu kwa muislamu kushiriki au kufanya kazi na kitu ambacho kinachangia kuwapiga vita waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/kufanya-kazi-kwenye-kiwanda-kinachotengeneza-ndege-za-vita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)