Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi katika duka linalouza bidhaa za haramu kama vile nyama ya nguruwe?
Jibu: Haijuzu kufanya kazi katika maduka yanayouza bidhaa za haramu, kwa sababu kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Kwa hivyo haijuzu kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 16/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)