Swali: Kuna mwanamke anafanya kazi katika mahakama inayohukumu matendo ya jinai kwa sheria za kibinaadamu. Inajuzu kwake kufanya kazi huko?
Jibu: Hapana. Sheria za kibinaadamu hazijuzu. Lililo la wajibu ni kuhukumu kwa mujibu wa Shari´ah, na sio kwa kanuni. Kazi kama hio ni kushirikiana katika dhambi na uadui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 28/12/2017
Swali: Kuna mwanamke anafanya kazi katika mahakama inayohukumu matendo ya jinai kwa sheria za kibinaadamu. Inajuzu kwake kufanya kazi huko?
Jibu: Hapana. Sheria za kibinaadamu hazijuzu. Lililo la wajibu ni kuhukumu kwa mujibu wa Shari´ah, na sio kwa kanuni. Kazi kama hio ni kushirikiana katika dhambi na uadui.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/kufanya-kazi-katika-mahakama-isiyohukumu-kwa-shariah-ya-kiislamu/