Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu kuhusu hukumu ya kupigana vita katika miezi mitukufu?
Jibu: Kauli yenye nguvu ni kuwa imefutwa na inajuzu. Hii ndio kauli yenye nguvu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu kuhusu hukumu ya kupigana vita katika miezi mitukufu?
Jibu: Kauli yenye nguvu ni kuwa imefutwa na inajuzu. Hii ndio kauli yenye nguvu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kufanya-jihaad-katika-miezi-mitukufu/