Swali: Je, kufanya chuki na kufanyiwa chuki kunawafunguza wawili hao mchana wa Ramadhaan? Ni ipi hukumu kunawafunguza na wanatakiwa kulipa siku zilizowapita?
Jibu: Aliyefanya na aliyefanyiwa wote wawili kumewafunguza. Wanatakiwa kujizuia na kula na kunywa siku iliyobaki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Amefunguza mwenye kuumika na kuumikwa.”[1]
[1] Ahmad (04/123-125) , Abu Daawuud (02/770-773), Ibn Maajah (01/537) na wengineo.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/261-262)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket