Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete? Ni mapokezi yepi yaliyopokelewa kuhusu hilo? Ni katika kidole kipi mtu anatakiwa kuvaa? Ni katika mkono upi?
Jibu: Inajuzu kwa mwanaume kuvaa pete ya fedha katika kidole kidogo au kwenye kidole cha pete. Hakuna neno kufanya hivo. Jambo hili lina wasaa ndani yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 03/09/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete? Ni mapokezi yepi yaliyopokelewa kuhusu hilo? Ni katika kidole kipi mtu anatakiwa kuvaa? Ni katika mkono upi?
Jibu: Inajuzu kwa mwanaume kuvaa pete ya fedha katika kidole kidogo au kwenye kidole cha pete. Hakuna neno kufanya hivo. Jambo hili lina wasaa ndani yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
Imechapishwa: 03/09/2018
https://firqatunnajia.com/kufaa-kwa-wanaume-kuvaa-pete-ya-fedha/