Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono wakati wa kumuombea Du´aa maiti? Je, nielekee Qiblah au kaburi?
Jibu: Yote mawili ni sawa kunyanyua mikono na kuelekea Qiblah wakati wa kumuombea Du´aa maiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-11-6.mp3
- Marejeo: Firqatunnajia.com
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono wakati wa kumuombea Du´aa maiti? Je, nielekee Qiblah au kaburi?
Jibu: Yote mawili ni sawa kunyanyua mikono na kuelekea Qiblah wakati wa kumuombea Du´aa maiti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-11-6.mp3
Marejeo: Firqatunnajia.com
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuelekea-qiblah-wakati-wa-kumuombea-maiti/