Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu anayeswali kinyume na Qiblah mahali pa kuswalia pa treni? Alipokuja kujua kuwa anaswali kusipokuwa Qiblah akaelekea Qiblah bila ya kukata swalah yake au kuirudi?
Jibu: Hakuna matatizo. Alifanya aliwezalo na kuanza kuswali kusikokuwa Qiblah. Baada ya hapo akaona mwelekeo sahihi na akaelekea huko. Swalah yake ni sahihi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu anayeswali kinyume na Qiblah mahali pa kuswalia pa treni? Alipokuja kujua kuwa anaswali kusipokuwa Qiblah akaelekea Qiblah bila ya kukata swalah yake au kuirudi?
Jibu: Hakuna matatizo. Alifanya aliwezalo na kuanza kuswali kusikokuwa Qiblah. Baada ya hapo akaona mwelekeo sahihi na akaelekea huko. Swalah yake ni sahihi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/kuelekea-qiblah-cha-sawa-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)