Swali: Baadhi ya watu wanasema kwamba waislamu sasa wanahitaji msaada wa kudumu na hivyo basi du´aa katika Fajr inakuwa kwa mtindo wa kudumu?
Jibu: Hapana, si jambo linalopaswa kufanywa isipokuwa kama yametokea matukio makubwa. Ama uadui wa makafiri dhidi ya waislamu, umekuwepo na unaendelea tangu zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Vipi kuhusu mitetemeko ya ardhi na milipuko ya volcano?
Jibu: Hapana, jambo linalojulikana ni kushuka kwa adui kafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27040/هل-يداوم-على-القنوت-في-الفجر-بحجة-كثرة-النوازل
- Imechapishwa: 23/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)