Swali: Kuchukua mkopo kwa ajili ya kuoa mke wa pili na wa tatu?
Jibu: Hapana vibaya. Ikiwa ni mlipaji hapana vibaya akachukua mkopo na kuoa. Ikiwa ni mlipaji na ni mwenye kufanya sababu, anafanya biashara au amejiajiri mwenyewe.
Swali: Je, achukue kutoka katika zakaah?
Jibu: Hapana vibaya akihitaji. Ikiwa analo deni au hana chochote apewe katika zakaah kiasi atachoweza kuoa kwacho.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23853/حكم-من-يستدين-ليتزوج-الثانية-والثالثة
- Imechapishwa: 19/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket