Swali: Kuna mtu anakusanya michango ya mayatima ambao anawasimamia. Je, inajuzu kwake kula sehemu ya michango hii kabla ya kuwasimamia? Je, imeshurutishwa kukubaliana kwanza na wale wenye kujitolea milango hiyo?
Jibu: Hafai kwake kuchukua midhali ni michango. Isipokuwa anaweza kuwaambia kwamba anataka mshahara na apewe mshahara maalum na isiwe ile michango.
- Muhusika: Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 20/10/2018
Swali: Kuna mtu anakusanya michango ya mayatima ambao anawasimamia. Je, inajuzu kwake kula sehemu ya michango hii kabla ya kuwasimamia? Je, imeshurutishwa kukubaliana kwanza na wale wenye kujitolea milango hiyo?
Jibu: Hafai kwake kuchukua midhali ni michango. Isipokuwa anaweza kuwaambia kwamba anataka mshahara na apewe mshahara maalum na isiwe ile michango.
Muhusika: Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 20/10/2018
https://firqatunnajia.com/kuchukua-sehemu-katika-michango-ya-mayatima/