Kuchukua fedha badala ya zakaah ya wanyama

Swali 331: Je, inafaa kuchukua fedha badala ya zakaah ya wanyama?

Jibu: Ikiwa kiongozi ataonelea hivyo, basi ni haki yake kuchukua fedha kwa ajili ya kuwanufaisha masikini.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
  • Imechapishwa: 29/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´