Swali: Inajuzu kuchukua elimu ya Fiqh kwa Suufiyyah na wanachuoni wa Suufiyyah?
Jibu: Allaah amekutosheleza nao. Wanachuoni wa Sunnah ni wengi na himidi zote ni Zake Allaah. Tafuta elimu kwa wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah hata kama hili litahitajia kusafiri na kuwaendea. Na si lazima ukae miaka, hata kama itakuwa kwa mwezi mmoja au nusu ya mwezi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Imechapishwa: 04/09/2020
Swali: Inajuzu kuchukua elimu ya Fiqh kwa Suufiyyah na wanachuoni wa Suufiyyah?
Jibu: Allaah amekutosheleza nao. Wanachuoni wa Sunnah ni wengi na himidi zote ni Zake Allaah. Tafuta elimu kwa wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah hata kama hili litahitajia kusafiri na kuwaendea. Na si lazima ukae miaka, hata kama itakuwa kwa mwezi mmoja au nusu ya mwezi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Imechapishwa: 04/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuchukua-elimu-ya-fiqh-kwa-suufiyyah/