Swali: Ni yapi maoni yako kwa ambaye anachukua cheti cha Hadiyth kutoka kwa Suufiy au ambaye yuko na ´Aqiydah ya ´Ashaa´irah au ya Khawaarij?

Jibu: Mimi binafsi sionelei hivo. Namnasihi kila ambaye anauheshimu mfumo wa Salaf asiutweze kwa kuwarejelea watu hawa.

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Kashf-us-Sitaar, uk. 10
  • Imechapishwa: 29/10/2016