Swali: Ni yapi maoni yako kwa ambaye anachukua cheti cha Hadiyth kutoka kwa Suufiy au ambaye yuko na ´Aqiydah ya ´Ashaa´irah au ya Khawaarij?
Jibu: Mimi binafsi sionelei hivo. Namnasihi kila ambaye anauheshimu mfumo wa Salaf asiutweze kwa kuwarejelea watu hawa.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kashf-us-Sitaar, uk. 10
- Imechapishwa: 29/10/2016
Swali: Ni yapi maoni yako kwa ambaye anachukua cheti cha Hadiyth kutoka kwa Suufiy au ambaye yuko na ´Aqiydah ya ´Ashaa´irah au ya Khawaarij?
Jibu: Mimi binafsi sionelei hivo. Namnasihi kila ambaye anauheshimu mfumo wa Salaf asiutweze kwa kuwarejelea watu hawa.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kashf-us-Sitaar, uk. 10
Imechapishwa: 29/10/2016
https://firqatunnajia.com/kuchukua-cheti-cha-masomo-kutoka-kwa-ahl-ul-bidah/