Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuchotwa damu ilihali amefunga katika Ramadhaan?
Jibu: Mfano wa kitu kama hicho hakiharibu swawm. Bali kinasamehewa. Kwa sababu ni katika mambo yanayopelekea katika haja. Sio miongoni mwa mambo yanayofunguza yanayotambulika katika Shari´ah takasifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/274)
- Imechapishwa: 29/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuchotwa damu ilihali amefunga katika Ramadhaan?
Jibu: Mfano wa kitu kama hicho hakiharibu swawm. Bali kinasamehewa. Kwa sababu ni katika mambo yanayopelekea katika haja. Sio miongoni mwa mambo yanayofunguza yanayotambulika katika Shari´ah takasifu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/274)
Imechapishwa: 29/05/2018
https://firqatunnajia.com/kuchotwa-damu-kwa-ajili-ya-kipimo-kunaharibu-swawm/