Swali: Mtu akichinja Udhhiyah yake kwenye kaburi fulani kwa kutaraji baraka ziteremke juu ya kichinjwa chake. Je, kichinja hichi kinazingatiwa kuwa ni shirki kubwa au shirki ndogo?
Jibu: Ikiwa amemchinjia maiti au amelichinjia kaburi ni shirki kubwa. Ama ikiwa amechinja kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall), lakini anadhani kuwa mahali hapa kuna fadhilah, basi hii ni shirki ndogo na ni njia inayopelekea katika shirki kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 57
Swali: Mtu akichinja Udhhiyah yake kwenye kaburi fulani kwa kutaraji baraka ziteremke juu ya kichinjwa chake. Je, kichinja hichi kinazingatiwa kuwa ni shirki kubwa au shirki ndogo?
Jibu: Ikiwa amemchinjia maiti au amelichinjia kaburi ni shirki kubwa. Ama ikiwa amechinja kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall), lakini anadhani kuwa mahali hapa kuna fadhilah, basi hii ni shirki ndogo na ni njia inayopelekea katika shirki kubwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 57
https://firqatunnajia.com/kuchinja-kwenye-kaburi-shirki-kubwa-au-ndogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket