Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Kuchinja ni kitendo cha ´ibaadah na ni kitendo kitukufu. Msingi wa kutumia mkono wa kuume na mkono wa kushoto ni kwamba mkono wa kuume unatumiwa juu ya vitu vitukufu na mkono wa kushoto unatumiwa juu ya vitu vichafu. Kwa hivyo bora na Sunnah ni yeye achinje kwa mkono wake wa kulia. Akichinja kwa mkono wa kushoto inasihi na atakuwa ameacha lililo bora.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://saleh.af.org.sa/sites/default/files/2018-01/09.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Kuchinja ni kitendo cha ´ibaadah na ni kitendo kitukufu. Msingi wa kutumia mkono wa kuume na mkono wa kushoto ni kwamba mkono wa kuume unatumiwa juu ya vitu vitukufu na mkono wa kushoto unatumiwa juu ya vitu vichafu. Kwa hivyo bora na Sunnah ni yeye achinje kwa mkono wake wa kulia. Akichinja kwa mkono wa kushoto inasihi na atakuwa ameacha lililo bora.
Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://saleh.af.org.sa/sites/default/files/2018-01/09.mp3
Imechapishwa: 07/09/2022
https://firqatunnajia.com/kuchinja-kwa-mkono-wa-kushoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket