Swali: Mke wangu ana mimba na ni mdhaifu na ana deni la siku moja la Ramadhaan, lakini hawezi kufunga kwa sababu ya ujauzito. Afanye nini itapokuja Ramadhaan?
Jibu: Acheleweshe swawm mpaka Ramadhaan itapokuja. Kisha akiweza kulipa afanye hivo hata kama itakuwa baada ya Ramadhaan. Hana juu yake isipokuwa kulipa peke yake maadamu alikuwa si muweza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 24/04/2018
Swali: Mke wangu ana mimba na ni mdhaifu na ana deni la siku moja la Ramadhaan, lakini hawezi kufunga kwa sababu ya ujauzito. Afanye nini itapokuja Ramadhaan?
Jibu: Acheleweshe swawm mpaka Ramadhaan itapokuja. Kisha akiweza kulipa afanye hivo hata kama itakuwa baada ya Ramadhaan. Hana juu yake isipokuwa kulipa peke yake maadamu alikuwa si muweza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 24/04/2018
https://firqatunnajia.com/kuchelewesha-ramadhaan-kwa-sababu-ya-mimba/