Swali: Ni ipi hukumu ya kuzika kucha na nywele baada ya kuzikata?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa kuzika nywele na kucha ndio vizuri na bora zaidi. Hayo yamepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Si sawa kuyaacha sehemu ya wazi au kuyatupa katika mahali kunakopelekea katika dhambi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzika kucha na nywele baada ya kuzikata?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa kuzika nywele na kucha ndio vizuri na bora zaidi. Hayo yamepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Si sawa kuyaacha sehemu ya wazi au kuyatupa katika mahali kunakopelekea katika dhambi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/kucha-na-nywele-zinafanywa-nini-baada-ya-kukatwa/