Swali: Ambaye anabobea katika kisomo cha Qur-aan analazimishwa kubobea vilevile katika masuala ya Tajwiyd. Je, unapendekeza kwake kuachana na somo hili?
Jibu: Ndio. Asibobee katika Tajwiyd. Ajifunze kiasi anachohitajia. Hilo lisimzuie na kujfunza maana na kuizingatia Qur-aan.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Ambaye anabobea katika kisomo cha Qur-aan analazimishwa kubobea vilevile katika masuala ya Tajwiyd. Je, unapendekeza kwake kuachana na somo hili?
Jibu: Ndio. Asibobee katika Tajwiyd. Ajifunze kiasi anachohitajia. Hilo lisimzuie na kujfunza maana na kuizingatia Qur-aan.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kubobea-katika-masuala-ya-tajwiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket