Kubobea katika masuala ya Tajwiyd

Swali: Ambaye anabobea katika kisomo cha Qur-aan analazimishwa kubobea vilevile katika masuala ya Tajwiyd. Je, unapendekeza kwake kuachana na somo hili?

Jibu: Ndio. Asibobee katika Tajwiyd. Ajifunze kiasi anachohitajia. Hilo lisimzuie na kujfunza maana na kuizingatia Qur-aan.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
  • Imechapishwa: 13/02/2017