Swali: Ikiwa kwenye nyumba kuna Mahram wangu na mimi siishi pamoja nao, nikiwatembelea niombe kwanza idhini [kabla ya kuingia ndani kwenye chumba alipo] au hapana?
Jibu: Ni lazima kuomba kwanza idhini. Hata kwa mke wako ni lazima kuomba idhini kwanza. Usimwingilie tu moja kwa moja isipokuwa mpaka kwanza ufanye kitu cha kumzindua [kwamba unaingia kule alipo]. Kwa sababu anaweza kuwa katika hali ambayo haridhii umuone.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ikiwa kwenye nyumba kuna Mahram wangu na mimi siishi pamoja nao, nikiwatembelea niombe kwanza idhini [kabla ya kuingia ndani kwenye chumba alipo] au hapana?
Jibu: Ni lazima kuomba kwanza idhini. Hata kwa mke wako ni lazima kuomba idhini kwanza. Usimwingilie tu moja kwa moja isipokuwa mpaka kwanza ufanye kitu cha kumzindua [kwamba unaingia kule alipo]. Kwa sababu anaweza kuwa katika hali ambayo haridhii umuone.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kubisha-hodi-kwanza-kabla-ya-kuingia-chumbani-kwa-mahram-zako/