Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuomba idhini inakuwa mara tatu.”
Je, naweza kubisha hodi zaidi ya mara tatu ikiwa ninamtaka rafiki yangu katika jambo ambalo ni muhimu na la kidharurah?
Jibu: Hapana. Udhahiri wa Hadiyth ni hapana. Unaweza kumrudilia kwa mara ya pili. Leo simu zimefanya kuweza kumpata mahala popote. Mtafute kwa njia ya simu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuomba idhini inakuwa mara tatu.”
Je, naweza kubisha hodi zaidi ya mara tatu ikiwa ninamtaka rafiki yangu katika jambo ambalo ni muhimu na la kidharurah?
Jibu: Hapana. Udhahiri wa Hadiyth ni hapana. Unaweza kumrudilia kwa mara ya pili. Leo simu zimefanya kuweza kumpata mahala popote. Mtafute kwa njia ya simu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kubisha-hodi-kwa-mtu-zaidi-ya-mara-tatu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)