Swali: Ni ipi hukumu ya kumbeba mtoto katika swalah na ambaye wakati mwingine anakuwa na najisi?
Jibu: Hakuna neno. [Najisi hiyo] inasamehewa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimbeba Umaamah, ambaye alikuwa mjukuu wake, ilihali yuko anaswali pindi alipokuwa bado msichana mdogo. Kunasamehewa kwa hayo na hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 17/04/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kumbeba mtoto katika swalah na ambaye wakati mwingine anakuwa na najisi?
Jibu: Hakuna neno. [Najisi hiyo] inasamehewa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimbeba Umaamah, ambaye alikuwa mjukuu wake, ilihali yuko anaswali pindi alipokuwa bado msichana mdogo. Kunasamehewa kwa hayo na hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 17/04/2017
https://firqatunnajia.com/kubeba-mtoto-aliyejisaidia-katika-nebi-yake/