Kubadilisha Tamattu’ kwenda Qiraan

454 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu anayefanya Hijjah ya Tamattu’ kubadilisha kwenda katika Qiraan.

Jibu: Wanazuoni wengi wanaona kufaa. Hata hivyo Ibn-ul-Qayyim na jopo la wanazuoni wengine wamekataza kufanya hivo. Kisha Shaykh wetu akasema kuwa inajuzu, ingawa ni kuacha kilicho bora.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 161
  • Imechapishwa: 25/09/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´