Swali: Ni haki kwa mtu kubadilisha jina la baba yake au babu yake ikiwa uabudiwa wake umenasibishwa kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Majina ya zamani na ya mtu ambaye kishakufa hayabadilishwi. Akishakufa mwenye nalo halibadilishwi. Ama ikiwa bado yuko hai mtu anaweza kulibadilisha. Ama akishakufa linaachwa kama jinsi lilivyo. Kwa ajili hiyo ndio maana limebaki jina la ´Abdul-Muttwalib.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)