Swali: Kuhusiana na yale yaliyozoeleka kwa baadhi ya wanawake ambapo baadhi wanawauliza wengine katikati ya swalah na hivyo wanaitikia ndio au hapana kwa kutikisa kichwa. Je, kitendo hichi kinaiharibu swalah?
Jibu: Hapana vibaya. Kuashiria ndani ya swalah ni jambo halina ubaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiashiria kwa mkono wake anaposalimiwa.
Swali: Vipi kwa ambaye amezungumza kwa kusahau?
Jibu: Hapana neno juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21576/حكم-الاشارة-باليد-او-الراس-في-الصلاة
- Imechapishwa: 20/08/2022
Swali: Kuhusiana na yale yaliyozoeleka kwa baadhi ya wanawake ambapo baadhi wanawauliza wengine katikati ya swalah na hivyo wanaitikia ndio au hapana kwa kutikisa kichwa. Je, kitendo hichi kinaiharibu swalah?
Jibu: Hapana vibaya. Kuashiria ndani ya swalah ni jambo halina ubaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiashiria kwa mkono wake anaposalimiwa.
Swali: Vipi kwa ambaye amezungumza kwa kusahau?
Jibu: Hapana neno juu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21576/حكم-الاشارة-باليد-او-الراس-في-الصلاة
Imechapishwa: 20/08/2022
https://firqatunnajia.com/kuashiria-kichwa-ndani-ya-swalah/