Swali: Ni aina gani ya kufuru kwa anayeapana kwa amana?
Jibu: Ni aina ya shirki ndogo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yeyote mwenye kuapa kwa amana si katika sisi.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24652/حكم-الحلف-بالامانة
- Imechapishwa: 21/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
05. Mifano mbalimbali ya shirki ndogo
Miongoni mwa mambo yanayoitia kasoro ´Aqiydah ni shirki ndogo. Nayo inakuwa kwa matamshi ya dhahiri. Kwa mfano kuapa kwa jina la asiyekuwa Allaah (´Azza wa Jall). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: "Atakayeapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au amefanya shirki." "Msiape kwa baba zenu! Yule mwenye kutaka kuapa basi…
In "al-´Aqiydah as-Swahiyhah"
Ibn Baaz kuhusu kuapa kwa Mtume
Swali: Ni ipi hukumu ya kuapa kwa Mtume, bin-Nabiy? Jibu: Haijuzu kuapa kwa asiyekuwa Allaah, haijalishi ni nani. Si Mtume wala mwengine yeyote. Anasema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Mwenye kutaka kuapa, basi aape kwa Allaah au anyamaze.” “Msiape kwa baba zenu, mama zenu wala miungu yenu. Wala msiape…
In "Shirki na aina zake"
Ibn Baaz kuhusu kuapa kwa Mtume
Swali: Ni ipi hukumu ya kuapa kwa Mtume, bin-Nabiy? Jibu: Haijuzu kuapa kwa asiyekuwa Allaah, haijalishi ni nani. Si Mtume wala mwengine yeyote. Anasema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Mwenye kutaka kuapa, basi aape kwa Allaah au anyamaze.” “Msiape kwa baba zenu, mama zenu wala miungu yenu. Wala msiape…
In "Shirki na aina zake"