Swali: Ni aina gani ya kufuru kwa anayeapana kwa amana?
Jibu: Ni aina ya shirki ndogo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yeyote mwenye kuapa kwa amana si katika sisi.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24652/حكم-الحلف-بالامانة
- Imechapishwa: 21/11/2024
Swali: Ni aina gani ya kufuru kwa anayeapana kwa amana?
Jibu: Ni aina ya shirki ndogo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yeyote mwenye kuapa kwa amana si katika sisi.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24652/حكم-الحلف-بالامانة
Imechapishwa: 21/11/2024
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-amana-ni-shirki-ndogo/